RAAWU  DodomaMaandamano ya Mei Mosi, 2022Katibu wa elimuViongozi wa RAAWU TaifaWajumbe wa Baraaza kuuViongozi wa RAAWU Taifa

RAAWU  Dodoma

Wawakilishi wa vijana wa RAAWU mkoa wa Dodoma

Maandamano ya Mei Mosi, 2022

RAAWU Tawi la CBE Dodoma wakiwa katika maandamano ya Mei Mosi, 2022 kwenye viwanja vya Jamhuri Dodoma

Katibu wa elimu na Mratibu wa Jinsia wa RAAWU Bi Mariam Mgalula kwenye pic ha ya pamoja na wanachama wa RAAWU tawi la TBS Dodoma, kwenye maadhimisho ya Mei mosi 2022, viwanja vya Jamhuri Dodoma

Viongozi wa RAAWU Taifa

Viongozi wa RAAWU taifa wakiwa Pamoja na Menejimenti ya TIRDO

Wajumbe wa Baraaza kuu la RAAWU Taifa kwenye picha ya pamoja na Naibu Waziri wa , ofisi ya Waziri mkuu,Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu Mhe. Patrobas Katambi aliyekaa katikati, baada ya kikakao cha Baraza Kuu tarehe 08/04/2022 Jijini Dodoma
 
 

Ziarani Dar es salaam

Viongozi wa RAAWU Taifia wakiwa Ziarani Dar es salaam kutembelea wanachama 

Mradi wa TVET ni mradi wa kuongeza ujuzi kwa Vijana ili waweze kujiajiri na kupata nafasi za kuajirika Duniani ambao unatumika kupitia vyuo vya ufundi vyenye matawi ya RAAWU pekee

Chama cha Wafanyakazi (RAAWU) ni mmoja wa waratibu wa mradi huo wa TVET nchini, ambapo Katika Warsha iliyofanyika nchini Denmark, (RAAWU) iliwakilishwa na Mratibu wa jinsia na Kaimu Katibu wa Elimu Bi. Mariam Mgalula.

Mradi huo umeanza Katika mikoa miwili Dar es salaam na Morogoro Katika vyuo vya  VETA Dar es salaam, VETA Kihonda, VETA Mikumi na Chuo Cha Don Bosco Osterbay jijini Dar es salaam.

Mradi huo unafadhiliwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini Denmark (DTDA) na Chama Cha waajiri Nchini Denmark (DI) huku Nchini Tanzania wakishirikisha Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA)  na Chama Cha waajiri (ATE).

RESEARCHERS, ACADEMICIAN AND ALIED WORKERS UNION (RAAWU)

Ni muungano wa Wafanyakazi wa sehemu au sekta husika ya kazi, unaotokana na ridhaa yao wenyewe kwa lengo la kulinda, kutetea haki na maslahi yao. Muungano huu hatimaye hutambuliwa rasmi na mamlaka ya nchi baada ya kusajiriwa kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizopo. Kwa Tanzania Sheria namba 6 na 7 za mwaka 2004 ndizo zinayosimamia vyama vya wafanyakazi.